ABUDU KWA ROHO YA KWELI (yohana4:24) 1️⃣. "Baba anawatafuta watu wa namna hiyo" Mwabudu BABA kwa roho ya kweli. Mfululizo:'Abudu kwa Roho' 1.Unapojitahidi kuelewa mwongozo Ambao Yehova Anatoa ▫️Endelea kumwomba Yehova ROHO yake takatifu(yakobo1:5) ▫️ Endelea kusoma kumhusu mungu 2.Unapohisi Umevunjika Moyo. (Wafilipi 4:8,9) Endelea kukumbuka Mambo mnayo jifunza,Na mungu wa amani atakuwa pamoja nawe. (1Thesalonike..) 3.Unapokabili Hali Ngumu za kiuchumi. (Matendo 13:2)Tumia roho ya Yehova ili Ikusaidia. (Matendo16:6-10) (Isaya3:10)Yehova ata kuthawabisha. ▫️ Endelea kumtegemea Yehova 2️⃣.Jinsi ya 'kuifanya kweli Iwe wazi' .Yesu aliifanya kweli Iwe wazi. Tunawezaje kumwiga yesu 1.kuishi kulingana na kweli (2wakorintho 4:1,2)_kataa kufanya Mambo ya kichinichini ya aibu (Waroma2:21)_Maisha Yako yanapaswa kulingana na neno ya mungu Biblia ▫️fundisha kweli kwa kumtegemea Biblia. ▫️ Tumia Biblia kwa ustadi ▫️Tunapoipenda kweli tunachochewa Kuishi kulingana na kweli 3️⃣.UBATIZO:maana ya ubatizo (1Petro3:11) 1.Ubatizo katika musa(1wakorintho10:2) 2.Ubatizo wa yohana mbatizaji(luka1:6,17) 3.Ubatizo wa Yesu kristo (Malaki 3:17).