ABUDU KWA ROHO YA KWELI (yohana4:24)
1️⃣. "Baba anawatafuta watu wa namna hiyo" Mwabudu BABA kwa roho ya kweli.
Mfululizo:'Abudu kwa Roho' 1.Unapojitahidi kuelewa mwongozo Ambao Yehova Anatoa ▫️Endelea kumwomba Yehova ROHO yake takatifu(yakobo1:5) ▫️ Endelea kusoma kumhusu mungu
2.Unapohisi Umevunjika Moyo. (Wafilipi 4:8,9) Endelea kukumbuka Mambo mnayo jifunza,Na mungu wa amani atakuwa pamoja nawe. (1Thesalonike..)
3.Unapokabili Hali Ngumu za kiuchumi.
(Matendo 13:2)Tumia roho ya Yehova ili
Ikusaidia.
(Matendo16:6-10)
(Isaya3:10)Yehova ata kuthawabisha.
▫️ Endelea kumtegemea Yehova
2️⃣.Jinsi ya 'kuifanya kweli Iwe wazi'
.Yesu aliifanya kweli Iwe wazi. Tunawezaje kumwiga yesu
1.kuishi kulingana na kweli (2wakorintho 4:1,2)_kataa kufanya Mambo ya kichinichini ya aibu
(Waroma2:21)_Maisha Yako yanapaswa kulingana na neno ya mungu Biblia
▫️fundisha kweli kwa kumtegemea
Biblia.
▫️ Tumia Biblia kwa ustadi
▫️Tunapoipenda kweli tunachochewa
Kuishi kulingana na kweli
3️⃣.UBATIZO:maana ya ubatizo (1Petro3:11) 1.Ubatizo katika musa(1wakorintho10:2) 2.Ubatizo wa yohana mbatizaji(luka1:6,17) 3.Ubatizo wa Yesu kristo (Malaki 3:17).